ANGALI PICHA NA VIDEO ZA KILL MUSIC ZILIZOFANYIKA USIKU WA KUAMKIA LEO HUKU DIAMOND AKICHUKUA TUZO 7 PIA ORODHA NZIMA YA WASHINDI WA TUZO
kundi la Weusi limeibuka na
tuzo mbili, Wimbo bora wa Hip Hop (Nje ya Box – Nick wa Pili ft Joh
Makini & G-Nako) na Kikundi cha mwaka cha kizazi kipya.
Msanii mwingine
aliyeshangaliwa zaidi katika usiku wa tuzo hizo ni Fid Q aliyenyakua
tuzo mbili ambazo ni Msanii Bora wa Hip Hop na Mtunzi Bora wa Mwaka –
Hip Hop.
Meneja wa bia ya
Kilimanjaro, George Kavishe (kulia) akimkabidhi tuzo Diamond.
Wasanii wa Kenya, Amani na Wyre wakimkabidhi tuzo Luiza Mbutu
Usiku
Wa ulipambwa na wasanii Mwana FA, Weusi, Madee, Vanessa Mdee,
Meninah, Angel, Makomando, Msami, Twanga Pepeta, Extra Bongo na wengine.
Jose Chameleone akipokea tuzo ya wimbo bora wa Afrika Mashariki
Isha Ramadhan akipokea tuzo
ORODHA NZIMA YA WASHINDI WA TUZO ZA KILLI
Wimbo bora wa mwaka Number One – Diamond
Mwimbaji bora wa kike – kizazi kipya Lady Jaydee M
uimbaji Bora wa kiume – Kizazi Kipya Diamond
Muimbaji bora wa kike taarab Isha Ramadhan
Muimbaji Bora wa kiume – Taarab Mzee Yusuf
Muimbaji bora wa kiume – Bendi Jose Mara
Muimbaji Bora wa Kike – bendi Luiza Mbutu
Msanii Bora wa Hip Hop Fid Q
Msanii Bora Chipukizi Anayechipukia Young Killer
Rapa Bora wa Mwaka – Bendi Furguson
Mtumbuizaji bora wa kike muziki Isha Ramadhani
Mtumbuizaji bora wa kiume wa muziki Diamond
Mtunzi Bora wa Mwaka – Hip Hop Fid Q
Video Bora ya Mwaka Number One – Diamond
Bendi ya Mwaka Mashujaa Band
Kikundi cha Mwaka cha Taarab Jahazi Modern Taarab
Kikundi cha mwaka cha kizazi kipya Weusi
Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka – Taarab Enrico
Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka – Kizazi kipya Man Walter
Mtayarishaji bora wa nyimbo wa mwaka – Bendi Amoroso
Mtunzi Bora wa Mwaka – Taarab Mzee Yusuf
Mtunzi Bora wa Mwaka – Kizazi Kipya Diamond
Mtunzi Bora wa Mwaka – Bendi Christian Bella
Wimbo bora wa Kiswahili – Bendi Ushamba Mzigo – Mashujaa Band
Wimbo bora wa reggae Niwe na Wewe – Dabo
Wimbo bora wa Afrika Mashariki Tubonge – Jose Chameleone
Wimbo bora wa Afro Pop Number One – Diamond
Wimbo bora wa Taarab Wasiwasi Wako – Mzee Yusuf
Wimbo bora wa Hip Hop Nje ya Box – Nick wa Pili f/ Joh Makini & G-Nako
Wimbo Bora wa R&B Closer – Vanessa Mdee
Wimbo Bora wa Kushirikiana Muziki Gani – Nay wa Mitego ft Diamond
Wimbo bora wa ragga/dancehall Nishai – Chibwa f/ Juru
Wimbo bora wa zouk /rhumba Yahaya – Lady Jaydee
Hall of FAME Award Hassan Rehani Bichuka
Masoud Masoud – TBC T
Vanessa Mdee akimbusu Lulu baada ya kukabidhiwa tuzo ya wimbo bora wa R&B
ASANTE KWAKUTEMBELEA BLOG HII JIUNGE NASI KUWA MWANA FAMILIA WA AGU CLASSIC BLOG
FACEBOOK - Page yetu AGU CLASSIC
TWITTER @AugustinoDamson
FACEBOOK @ Augustino Kaulule
No comments:
Post a Comment